Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Ndiyo habari yenyewe hiyo!Wewe unapenda mke wa mtu??
Ndiyo habari yenyewe hiyo!Wewe unapenda mke wa mtu??
<br />huyo mume naye???.....kwa nini asimpeleke mkewe kny danguro tu?? kuna ndoa hapo?
maeneo ya stesheni,city centre kuna police wa central huwa wanatega kibinti kidogo
hivi lakini kimevaa kichangu doa hivi.....ukikitokea hivi
ukaenda nako gesti hivi,polisi wanakuja kukumata,kesi ya kubaka mwanafunzi....
usiwape pesa kwa nini?????lol
Pole mkuu ulitoa bei gani?maeneo ya stesheni,city centre kuna police wa central huwa wanatega kibinti kidogo
hivi lakini kimevaa kichangu doa hivi.....ukikitokea hivi
ukaenda nako gesti hivi,polisi wanakuja kukumata,kesi ya kubaka mwanafunzi....
usiwape pesa kwa nini?????lol
Hahahahaaaa, kwa hiyo unavizia pale forodha wakati boat inaondokasioUnaenda kukipigia gemu zenj, tuone je police watakuja...? then unamkomesha akome....>!
Nilipoanza kazi nilionywa na wenyeji wangu juu ya huyu mama mfagizi wa hapa ofisini. Yeye ni mke wa mtu, na ni mama mtu mzima. Sijui kutokana na ugumu wa maisha au tabia tu, alikuwa na mchezo wa kutoka kimitegomitego. Kafumaniwa na mabosi wake zaidi ya watano, mwisho wa fumanizi mgoni analipa tu faini ya shilingi laki tano. Watu kuja kushtuka kuwa ulikuwa ni mchezo uliokuwa unachezwa na huyu mama kwa kushirikiana na mume wake, wakware wengi walishachomolewa pesa sana tu. Thanks God alihama mji na kazi aliacha....
Hachagui hata kama huna kipato ukifumaniwa utajipinda upate hiyo laki tano ili kukwepa aibu!
maeneo ya stesheni,city centre kuna police wa central huwa wanatega kibinti kidogo
hivi lakini kimevaa kichangu doa hivi.....ukikitokea hivi
ukaenda nako gesti hivi,polisi wanakuja kukumata,kesi ya kubaka mwanafunzi....
usiwape pesa kwa nini?????lol
<br />Unaenda kukipigia gemu zenj, tuone je police watakuja...? then unamkomesha akome....>!
Hapana mkuu wala hakuwa size yangu, japo yeye hakuwa anachagua!