Labda nyie mliosoma academy. ila sisi wa kata hiyo ni ndogo sana.Adhabu kubwa zaidi niliyowahi kupata shule ni kufagia
Hilo zoezi linafaa kwa afya
Hizi adhabu sometimes zilikuwa zinatujenga kiaina.natupa hapo chini nakimbia mpaka nyumbani sirudi tena shule,nakumbukaa nikiwa std six mwalimu alitoa dhabu ya viboko 12 du nikaona hapa shida sana ile apenichapa 1 nikaanguka chini nikabana pumzi at nimezimia fasta nikakimbizwa hospitali ile nes wanaanza kuniwekea drip nikawaambi nimepona sikutandikwa tena mpaka namaliza shule ,
hapa umenena mkuu............Work is said to be done when a certain amount of force is applied in the direction of force.
Workdone = Force x Distance.
Zoezi kama kukimbia, kucheza mpira ni moja ya kazi(zoezi), lakini kubeba tofali na kutulizwa mahali pamoja hiyo si kazi bali ni uonevu na udhalilishaji tu.
View attachment 65945
Maisha ya shule...
Adhabu kubwa zaidi niliyowahi kupata shule ni kufagia
natupa hapo chini nakimbia mpaka nyumbani sirudi tena shule,nakumbukaa nikiwa std six mwalimu alitoa dhabu ya viboko 12 du nikaona hapa shida sana ile apenichapa 1 nikaanguka chini nikabana pumzi at nimezimia fasta nikakimbizwa hospitali ile nes wanaanza kuniwekea drip nikawaambi nimepona sikutandikwa tena mpaka namaliza shule ,
Ulikosa nini hadi ukaadhibiwa kufagia?
Nilichelewa nikaambiwa nikafagie, nikaomba msamaha mwalimu akakataa akanigooomba vizuri, na mie nikaliiiiia vizuri, mpaka akatokea jamaa mmoja anaitwa Mussa na rafiki yake anaitwa Anthony (bless their hearts), wakanbembeleza weee, nikanyamaza wakafagia wao
Hahahaaa..duuuh!
Yaelekea ulikuwa mwanafunzi mtiifu sana wewe.
Sie wengine tushawakosa kosa ngumi walimu.
Hehehe mie sio nilikuwa mtii, ni mtii hadi sasa. Hapati mtu tabu hapa
Kisa cha kumkosa kosa mwalimu ngumi?