charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,369
Umewahi kuwaza hivi kuhusu babu wa Loliondo?
1.Dawa yake inathibitika kuponya HIV/AIDS
2.Dawa yake inakuwa promoted kuzalishwa in large scale
3.Waathirika wote duniani wanatumia na kupona
4.Dunia inakuwa HIV/AIDS FREE
Tunakuja upande wa pili wa shilingi,hali ya sasa ya uzinzi licha ya kuwepo kwa AIDS na ndugu zake inatisha inakua kama vile hakuna tishio lolote kwa binadamu.Sasa ikipatikana hii dawa situtashuhudia mambo ya ajabu sana jamani?Au mnaonaje?
1.Dawa yake inathibitika kuponya HIV/AIDS
2.Dawa yake inakuwa promoted kuzalishwa in large scale
3.Waathirika wote duniani wanatumia na kupona
4.Dunia inakuwa HIV/AIDS FREE
Tunakuja upande wa pili wa shilingi,hali ya sasa ya uzinzi licha ya kuwepo kwa AIDS na ndugu zake inatisha inakua kama vile hakuna tishio lolote kwa binadamu.Sasa ikipatikana hii dawa situtashuhudia mambo ya ajabu sana jamani?Au mnaonaje?