Umewahi kutembela balozi za Tanzania nje?

Kama wewe ni Mtanzania na ulifahamu kuwa hizo ni ofisi za Tanzania na waliopo ni Watzania wenzako, kwa nini hukuongea nao Kiswahili? Yaani ukaowaona lugha ya mkoloni ndio ya kuongea na wenzio, halafu ulienda kumwona nani na kwa shida gani ambayo walishindwa kukutatulia? Ningesikitika kama ulienda ukiwa na shida fulani kama labda ulikuwa umeibiwa wakashindwa kukusaidia. Sasa wewe watu wako kazini, halafu wewe unaingia. Kumbuka ulipaswa kuwasilaina nao kwa barua pepe kuambia kuwa utaenda ili wajianda na kutafuta majibu ya maswali yako.
 
Kuna swala najiuliza kila siku sipati majibu, nani yuko responsible na kuajiri wafanyakazi katika balozi zetu nje ya nchi? Nimetembelea nchi kadhaa na kwa bahati niliweza kufika katika ofisi za balozi zetu, lakini kiboko ilikuwa ya last week Pretoria kwenye ubalozi wetu.

Wafanyakazi pale walitushangaza mno kwa jinsi wanavyoendesha kazi zao, wengine hawajui kabisa kuongea kingereza, halafu tulivyopokelewa ni kama tupo Bongo, labda wanakosea wanafikiri wako Tanzania.

Mimi sikuamini, hivi ni nani haswa anawatuma hawa watu wakafanye kazi huko? Ni wajomba zao au ni baba zao? Je kuna wahitimu wangapi wanamaliza masomo na wanakosa hizo nafasi?

Hivi kuna haja ya kuangalia upya huo utaratibu?


Sifa za kijinga hizo
 
Kuna swala najiuliza kila siku sipati majibu, nani yuko responsible na kuajiri wafanyakazi katika balozi zetu nje ya nchi? Nimetembelea nchi kadhaa na kwa bahati niliweza kufika katika ofisi za balozi zetu, lakini kiboko ilikuwa ya last week Pretoria kwenye ubalozi wetu.

Wafanyakazi pale walitushangaza mno kwa jinsi wanavyoendesha kazi zao, wengine hawajui kabisa kuongea kingereza, halafu tulivyopokelewa ni kama tupo Bongo, labda wanakosea wanafikiri wako Tanzania.

Mimi sikuamini, hivi ni nani haswa anawatuma hawa watu wakafanye kazi huko? Ni wajomba zao au ni baba zao? Je kuna wahitimu wangapi wanamaliza masomo na wanakosa hizo nafasi?

Hivi kuna haja ya kuangalia upya huo utaratibu?
Afanaleikh!!! Hili la balozi zetu ,ajira ktk BOT, ushost na Rushwa!! NEPOTISM :pound:ni ufisadi mwingine uliojengwa na ccm ambao ni tishio!!!!

WAO WAWEZE WANA SISI TUSHINDWEJE!!!! wkati umefika sasa!
 
Ajira inatakiwa kutolewa kwa kila Mtanzania mwenye sifa zinazokubalika bila upendeleo. Sifa mojawapo ya kufanya kazi katika balozi zetu ni kujua kwa ufasaha lugha za kigeni - mara nyingi ni kiingereza na hata kifaransa. Kiingereza ndiyo kiswahili cha dunia. Kama mtu hajui kiingereza basi aajiriwe hapo Makao Makuu ya Ofisi a Mambo ya Nje. Tujuwe kuwa kufahamu kiingereza kwa kazi fulani, kama mambo ya nchi za nje ni muhimu kabisa kama vile kwa mtu anayejiita ni Injinia au Daktari kuwa na shahada kwenye fani hiyo.

Watanzania inatakiwa tujifunze kuheshimu umuhimu wa elimu. Siyo kiingereza peke yake. Ujuzi wa kazi yenyewe ni ni muhimu. Inabidi tuachane kabisa na mambo ya Usahili. La sivyo tutazidi kulalama wakati kazi zinachukuliwa na wageni.

Mtanzania hapasi kuona aibu kutembelea ubalozi wake anaposafiri nchi za nje lakini inabidi aone aibu anapoona wafanyakazi wa ubalozi wanavulunda. Kwenye Pasi ya Kusafiria imeelezwa kuwa uwapo nchi za nje inabidi uwajulishe ubalozi wetu kuwa upo huko (labada pasi za siku hizi wamefuta hilo).
 
Afanaleikh!!! Hili la balozi zetu ,ajira ktk BOT, ushost na Rushwa!! NEPOTISM :pound:ni ufisadi mwingine uliojengwa na ccm ambao ni tishio!!!!

WAO WAWEZE WANA SISI TUSHINDWEJE!!!! wkati umefika sasa!

Ajira kwa mtindo wa kutupiwa tauro,utajua mwenyewe namna ya kufanya kazi.Nadhani huwa wanapewe semina elekezi.
 
Kazi moja ya balozi zetu ni kutoa viza kwa watu wanaotaka kuja kutembelea Tanzania.Baadhi yao wame ifahamu Tanzania kutokana na mlima Kilimanjaro na mbuga nzuri za wanyama na si zaidi ya hapo.Watu kama awa wanapofika ubalozi na kukuta service mbovu inawapa picha ni huduma gani watakwenda kupata Tanzania na wengi wao inaweza kuwa put off.

Kuna siku nilikuwa moja ya balozi zetu nje, akaja mzungu mmoja kuchukua viza yake kama alivyopangiwa.Kilichotokea hapo reception kilinisikitisha.Kwa kifupi mtu aliyekuwa pale reception alimwambia yule mzungu kwa kifupi "come tomorrow at...", Mzungu hakawa mkali, akamwambia hii ni mara ya tatu mnaniambia nirudi siku nyingine. Yule receptionist badala ya kumwelezea ni kwa nini viza yake haiko ready kama alivyo ahidiwa badala yake akawa anaendelea kumjibu kwa kifupi "come tomorrow" mzungu akahamua kuchukuwa passport yake kwa hasira na kuondoka.

Niligundua tatizo la yule mfanyakazi wa ubalozi lilikua ni lugha.Sasa hii inaonyosha lugha zilivyo muhimu katika hizi balozi zetu.Yule mzungu ni lazima atakwenda kueneza sifa mbaya kuhusu Tanzania na ni wangapi yamewakumba kama huyo mzungu.
 
That should be only if Tanzanians are mecenaries like you! It has happened that you understand English but not other international languages so you can boast yourself with it but mind you that it is just one of the languages possesed by those we depent upon for what reasons that has made you to singled out English!

Todavia no tiene su punto. Puede elaborar ma's?
 
Ajira inatakiwa kutolewa kwa kila Mtanzania mwenye sifa zinazokubalika bila upendeleo. Sifa mojawapo ya kufanya kazi katika balozi zetu ni kujua kwa ufasaha lugha za kigeni - mara nyingi ni kiingereza na hata kifaransa. Kiingereza ndiyo kiswahili cha dunia. Kama mtu hajui kiingereza basi aajiriwe hapo Makao Makuu ya Ofisi a Mambo ya Nje. Tujuwe kuwa kufahamu kiingereza kwa kazi fulani, kama mambo ya nchi za nje ni muhimu kabisa kama vile kwa mtu anayejiita ni Injinia au Daktari kuwa na shahada kwenye fani hiyo.

Watanzania inatakiwa tujifunze kuheshimu umuhimu wa elimu. Siyo kiingereza peke yake. Ujuzi wa kazi yenyewe ni ni muhimu. Inabidi tuachane kabisa na mambo ya Usahili. La sivyo tutazidi kulalama wakati kazi zinachukuliwa na wageni.

Mtanzania hapasi kuona aibu kutembelea ubalozi wake anaposafiri nchi za nje lakini inabidi aone aibu anapoona wafanyakazi wa ubalozi wanavulunda. Kwenye Pasi ya Kusafiria imeelezwa kuwa uwapo nchi za nje inabidi uwajulishe ubalozi wetu kuwa upo huko (labada pasi za siku hizi wamefuta hilo).

Hapo kwenye red ni kweli. Halafu tunalalamika oooh babu wa Loliondo na mt. Kilimanjaro uko Kenya wakati kujieleza ama kujitangaza ni maimuna!! Mkisusia English wenzenu ndio wanatake advantage. As a foreign investor in any sector nikijainvest bongo, wewe na akili zako unadhani nitaajiri mtu ambaye ni maimuna?
 
Back
Top Bottom