NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Kwa ruhusa ya mwana JF mwenzetu KAKA JAMBAZI, natumia avatar yake ili tujadili vituko vya VIBAKA kwenye miji mikubwa EA hasa DSM.
Juzi juzi nilikuwa maeneo ya CENTRAL police niliona mtu mmmoja mfupi anakimbia mbio sana na akaingia moja kwa moja hadi ofisini kwa askari na kujifungia na kupiga kelele tafadhali nifungeni mimi ni mwizi wakati tunashangaa pale gafla likatokea kundi kubwa la watu na mapanga na mawe wakiomba ndugu yao kichaa wakamtibu yeye akasisitiza mimi ni mwizi jamani sio kichaa nimeiba simu na akaitoa ile simu ya blackberry.
Je wewe umeona kisa gani kingine cha kuchekesha na kuhuzunisha kutoka kwa hawa VIBAKA NA machokoraa?
Juzi juzi nilikuwa maeneo ya CENTRAL police niliona mtu mmmoja mfupi anakimbia mbio sana na akaingia moja kwa moja hadi ofisini kwa askari na kujifungia na kupiga kelele tafadhali nifungeni mimi ni mwizi wakati tunashangaa pale gafla likatokea kundi kubwa la watu na mapanga na mawe wakiomba ndugu yao kichaa wakamtibu yeye akasisitiza mimi ni mwizi jamani sio kichaa nimeiba simu na akaitoa ile simu ya blackberry.
Je wewe umeona kisa gani kingine cha kuchekesha na kuhuzunisha kutoka kwa hawa VIBAKA NA machokoraa?