Umewahi kukutwa na hali kama hii??

Pole sana LD naweza kuimagine vile unajiskia,the only thing ni prayer kama wengi walivyotangulia kusema,have fun with friends,watch kama una interest,n.k ,,,,lkn kubwa ni prayer.Kama huna depression yaweza kuwa hali ya rohoni zaidi najua unaelewa ninachomaanisha.Nakuombea amani
 
Pole sana LD naweza kuimagine vile unajiskia,the only thing ni prayer kama wengi walivyotangulia kusema,have fun with friends,watch kama una interest,n.k ,,,,lkn kubwa ni prayer.Kama huna depression yaweza kuwa hali ya rohoni zaidi najua unaelewa ninachomaanisha.Nakuombea amani

Asante WL,
Hebu tupande mlimani mtumishi..................
 
LD nani tena huyo anakuanzia asubuhi yote hii?? Hebu sali kwanza na uombe roho hiyo ya kishetani ikuondoke nami nakuombea sasa hivi nikimaliza tu kuandika hapa. Pole sana dearest usijali acha kuwaza magari, magorofa, na investment yote ni yako ha ha ha ha im joking
 
ha hahaaaaaaaa LD bana!! so unajenga gorofa za juu??

pole sana my dia!! hiyo humtokea karibia kila mtu!! ila pia inabidi utizame lbd kuna mlango wa dhambi ambao uliufungua bila ww mwenyewe kujua ss unajikuta roho inakuhukumu, kwnn umefanya hivi, kwnn umesema hivi, kwanini ume...... , !! dawa yake nikuomba toba!! utajisikia umepata amani.
 
rafiki pole kwa hali unayopitia najua inavyokuwa,wengi wametangulia kusema zingatia hayo msisitizo kny maombi
 
Ni kuomba tu LD...utajickia faraja ya ajabu..but do it kwa kumaanisha na imani kubwa. ni hayo tu.
 
ha hahaaaaaaaa LD bana!! so unajenga gorofa za juu??

pole sana my dia!! hiyo humtokea karibia kila mtu!! ila pia inabidi utizame lbd kuna mlango wa dhambi ambao uliufungua bila ww mwenyewe kujua ss unajikuta roho inakuhukumu, kwnn umefanya hivi, kwnn umesema hivi, kwanini ume...... , !! dawa yake nikuomba toba!! utajisikia umepata amani.

Bwana wee!!
Acha tu nizame rohoni manake daa!!
 
rafiki pole kwa hali unayopitia najua inavyokuwa,wengi wametangulia kusema zingatia hayo msisitizo kny maombi

Thanks Wit, upo eeh!!
Hebu ingia humo chumbani useme maneno mawili matatu...............
 
LD nani tena huyo anakuanzia asubuhi yote hii?? Hebu sali kwanza na uombe roho hiyo ya kishetani ikuondoke nami nakuombea sasa hivi nikimaliza tu kuandika hapa. Pole sana dearest usijali acha kuwaza magari, magorofa, na investment yote ni yako ha ha ha ha im joking

Na ashindwe kabisa DA...............
Hebu zama kabisa DA, yani j3 inakuja na mzigo hivi................
 
Dah, LD hata mimi huwa inanitokea hiyo hali na sa zingine hadi machozi yananitoka na ikitokea nimekumbuka tukio baya naweza nikalia kabisa.
Mara nyingi hutokea hivyo ninapokuwa mwenyewe kwahiyo nikihisi kupooza pooza natafuta watu wa kuongea nao au hata simu nipige ilimradi nisihisi upweke.


IVO EEH...THATS WHAT FRIENDS ARE FOR

LD mdogo wangu, talk to someone and it will naturally fade away....
 
Nitakuletea cd ya Mchungaji Mwakasege!

Kwa ufupi ukiona hali hiyo inakutokea, si ya kubahatisha hata kidogo...Ni mzigo wa maombi unakuwa unakukabili, lakini kwa akili za kawaida huwezi elewa..

Kwa habari ya rohoni, upatapo hali kama hiyo maana yake ni amri kuwa kimbia uingie kwa magoti uanze kuomba haraka sana, maana kuna jambo Mungu anataka kukuonyesha , au kukuonya , au kukuelekeza.

Kama ni msomaji wa bible, Yesu akikaribia kukamatwa na wayahudi aliwaambia wanafunzi wake,,"Nina huzuni kiasi cha kufa"...lakini hakupata kueleza ni huzuni ya namna gani...Lakini pia bible inaeleza juu ya 'kuugua rohoni isivyomithilika"..

Ni hali inayoweza kumpata mtu yeyote, lakini amini usiamini ina sababu zake kwa ulimwengu wa roho!

mkuu pj heshima mbele
nilijua wewe ni mtaalam wa habari za kisiasa pekee, kumbe hata za kiroho uko deep! ushauri wako nimeunote
 
Ld....!nina wazo hapa

nadhani ''kale kalikizo kale'' ndo kanakokupa hiyo PINCH...!
 
Dah!! Asante AD
Naomba nikuulize kidogo, wewe ulikuwa unajisikia sikia je yani. Manake kuna ile unakosa amani lakini ukifikiria unaona labda kuna kitu unakifikiria sana...au kuna kitu unakihitaji kama pesa lakini hauna kwa wakati huo!!! Sasa hii ya unajikuta tu upo hivo inasababishwa na nini??


My dear hii situation inatokea
Ukiwa unhappy na kitu fulani
Au unafanya kitu fulani kwa muda
mrefu huoni mafanikio au umekaribia kufanikiwa
Mara kitu kinaharibika...
Sasa hapo ndo mahali watu wanakuwa alchoholic,
wengine wanatumia drags just to run away from reality
na wengine wanafikia hatua ya kutoa maisha yao
Lakini kitu nilicho gundua usikubali ile ya kujifungia
na kuwa mwenye dear ... yaani ni muhimu sana kuwa na watu
na kumtafuta mmoja unayemwamini na kuongelea hilo jambo
Kweli utadhani ni safe kuwa peke yako lakinI my dear si vema..
 
My dear hii situation inatokea
Ukiwa unhappy na kitu fulani
Au unafanya kitu fulani kwa muda
mrefu huoni mafanikio au umekaribia kufanikiwa
Mara kitu kinaharibika...
Sasa hapo ndo mahali watu wanakuwa alchoholic,
wengine wanatumia drags just to run away from reality
na wengine wanafikia hatua ya kutoa maisha yao
Lakini kitu nilicho gundua usikubali ile ya kujifungia
na kuwa mwenye dear ... yaani ni muhimu sana kuwa na watu
na kumtafuta mmoja unayemwamini na kuongelea hilo jambo
Kweli utadhani ni safe kuwa peke yako lakinI my dear si vema..
Mambo?

hivi tunaweza kuongea?
 
pole sana LD kama hyo hali imekutokea wewe.yaa hyo hali huwa inatokea kwa kila mtu unahisi kama unakosa raha na sometyms unatamani hata kulia ila only solution ni kusali tu na kama ni mkristo basi jitahidi kusoma bible na kama muislam jitahid kusoma Qur-an
Yani unaweza ukajikuta unakosa amani moyoni, ukifikiria ulicho kifanya hukioni!!! Lakini moyo umeinama, huna furaha, yani hujachangamka kwa ujumla.

Lakini ukiangalia umekosea wapi huoni, ukijiuliza sasa kwa nini unakuwa hivi hupatati jibu. Unaweza ukatamani hata kukaa tu mahali peke yako.....hutaki kuongea ongea ingawa wewe ni muongeaji sana. Yani dah unakuwa upo upo tu.......

Hebu nambieni hali kama hii imewahi kukupata, kama ndiyo unafanya nini ili iondoke.
 
Ld....!nina wazo hapa

nadhani ''kale kalikizo kale'' ndo kanakokupa hiyo PINCH...!

Mmmmh mfalme wa Amani ni kweli hili kweli,
Anyway, ngoja nizidishe maombi............
 
IVO EEH...THATS WHAT FRIENDS ARE FOR

LD mdogo wangu, talk to someone and it will naturally fade away....

Asante kaka, hebu nichagulie Msasha mmoja niongee naye!!
 
LD umenifanya nijiskie kuwa na mimi ni binadamu wa kawaida kabisa kwani hii hali kuna wakati hunitokea.
 
Back
Top Bottom