Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
1. Karibu watu wote huwa tunakunywa maziwa; hivi mtu wa kwanza alifikwa na nini hadi akaamua: "Ngoja nikamue chuchu za huyu ng'ombe na ninywe kitakachotoka"?
2. Mtu wa kwanza aliewaza: "Hiki kitu cha mviringo kilichomtoka huyu ndege nikikikaanga au nikakichemsha nitakila" alifikwa na nini nae?
Au ndio maana kuna watu wanafanya vitu ambavyo wala wengine wasingeweza kuvifikiria? Kwa mfano nimesikia eti ukioshea nywele zako kwa bia zina-retain naturality yake! Who would have guessed that?
2. Mtu wa kwanza aliewaza: "Hiki kitu cha mviringo kilichomtoka huyu ndege nikikikaanga au nikakichemsha nitakila" alifikwa na nini nae?
Au ndio maana kuna watu wanafanya vitu ambavyo wala wengine wasingeweza kuvifikiria? Kwa mfano nimesikia eti ukioshea nywele zako kwa bia zina-retain naturality yake! Who would have guessed that?