Tz-guy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 436
- 88
Bora wewe uliingiza faida
eeeeh! Wakati unaiba unakuwa unajisijiaje?
Niliiba gari la baba'ngu wakati amesafiri, alivyokaribia kurudi nikalirudisha. Nilitesaje kitaa, hahaaa.
Bora wewe uliingiza faida
eeeeh! Wakati unaiba unakuwa unajisijiaje?
Haya mambo ya kuibiwa haya sio mazuri kbs,
Niliwahi kuibiwa simu enzi hiyo ya simems ile ya kidole gumba nikiwa natoka likizo narudi shule pale iringa stend,
Nilichanganyikwa nililia mpaka nafika bwenin usiku kucha sikulala kesho yake mapema nikapanda basi kurudi dar,
Nimefika huku watu wananishangaa niliingia hm kwa anko nakilio cha haja,wakanihurumia ila akaninunuliwa nyingine nikarudi shule,
Huwa wananikumbushaga na kunicheka sana!!
Yes,OTIS, namshukuru mungu kwa sasa nimekua,I hope umekua sasa
OTIS
hahahahah!pole sana,Mimi nilipaki gari kwenye mzunguko wa soko la Kariakoo nikaingia shimoni nilipotoka nikatokea upnade mwingine na ugeni wa soko kipindi hicho nilikuwa nakimbia kama mwizi around soko na kagari kenyewe ka mkopo hata mwezi nilikuwa sijamaliza.Ilinichukua kama nusu saa hivi kuipata hapa jasho lishanitoka sehemu zote za mwili.
Haya mambo ya kuibiwa haya sio mazuri kbs,
Niliwahi kuibiwa simu enzi hiyo ya simems ile ya kidole gumba nikiwa natoka likizo narudi shule pale iringa stend,
Nilichanganyikwa nililia mpaka nafika bwenin usiku kucha sikulala kesho yake mapema nikapanda basi kurudi dar,
Nimefika huku watu wananishangaa niliingia hm kwa anko nakilio cha haja,wakanihurumia ila akaninunuliwa nyingine nikarudi shule,
Huwa wananikumbushaga na kunicheka sana!!
Nimewahi kuibiwa kipedo, nililia nikazimia mara 6.
Nimeibiwa gari "brand new" sio mtumba na niliitumia miezi mitatu tu. Nilialikwa sehemu futari (ilikuwa mwezi wa Ramadhan), baada ya futari na maongezi kidogo, kutoka niende zangu nyumbai nikakuta gari hamna, kwanza nilijiuliza hapa ndipo nilipopaki? nimekuja na gari hapa au nimepewa lifti? au mume wangu kaichukuwa kwenda msikitini (lakini hapo tulipoalikwa kufuturu walitoka na wenzake kwa gari nyingine)? Wenyeji wangu walionisindikiza nje wakaniambia, labda mumeo kaichukuwa. Tukarudi ndani.
Mume wangu nampigia simu nimuulize hpatikani, yupo mskitini. Na unajuwa salaa za Ramadhan za usiku (isha) zinakuwa ndefu maana wanaswali na taraweh. Kama saa 4 za usiku anaipigia kakuta miss calls zangu, namuliza ananiambia hajaichukuwa na aliposhuka na wenzake ilikuwepo. Allahu Akbar. Nikasema "hasbuna Llahu waneema 'lwakil". Tukaripoti polisi.
Baada ya siku tatu nikapigiwa simu gari yangu imepatikana niende polisi nikahakikishe. Kwenda kweli ni yangu. AlhamduliLlah.
Niliiba gari la baba'ngu wakati amesafiri, alivyokaribia kurudi nikalirudisha. Nilitesaje kitaa, hahaaa.
Nimeibiwa gari "brand new" sio mtumba na niliitumia miezi mitatu tu. Nilialikwa sehemu futari (ilikuwa mwezi wa Ramadhan), baada ya futari na maongezi kidogo, kutoka niende zangu nyumbai nikakuta gari hamna, kwanza nilijiuliza hapa ndipo nilipopaki? nimekuja na gari hapa au nimepewa lifti? au mume wangu kaichukuwa kwenda msikitini (lakini hapo tulipoalikwa kufuturu walitoka na wenzake kwa gari nyingine)? Wenyeji wangu walionisindikiza nje wakaniambia, labda mumeo kaichukuwa. Tukarudi ndani.
Mume wangu nampigia simu nimuulize hpatikani, yupo mskitini. Na unajuwa salaa za Ramadhan za usiku (isha) zinakuwa ndefu maana wanaswali na taraweh. Kama saa 4 za usiku anaipigia kakuta miss calls zangu, namuliza ananiambia hajaichukuwa na aliposhuka na wenzake ilikuwepo. Allahu Akbar. Nikasema "hasbuna Llahu waneema 'lwakil". Tukaripoti polisi.
Baada ya siku tatu nikapigiwa simu gari yangu imepatikana niende polisi nikahakikishe. Kwenda kweli ni yangu. AlhamduliLlah.
Kumbe una gari!
kwani unamuonaje mkuu?kumbe una gari!
Unafanya mchezo na kufaulu kwenda 4m five!Kumbe we tawi
shule na simu?
Afu unaibiwa unafunga safari?
Nimekupenda aisee
Kumbe una gari!