Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,955
- 93,934
na kukata kucha pia si itakuwa operation?
duh! kucha na jino tofauti bhanaa...mi namaanisha kung'olewa hospitali sio ile ya kung'oa ili jino jingine liweze kumea
na kukata kucha pia si itakuwa operation?
hahaaaaa usipovunja mbavu chit chat huvunji tenaaa
Ya..... Tumbo, Uzazi, Moyo, Koo, Matiti, Kupunguza/Kukuza Makalio.........
Ni lini na hospital gani??
Mimi sijawahi fanyiwa operation hata 1 lakini nina mpango wa kufanya penis enlargement niwashikishe adabu kwa
wanaotaka kufunzwa na Ulimwengu...
View attachment 65369
All the best boflo. Angalia usijekuwa maandazi bure!
hahaaaaa usipovunja mbavu chit chat huvunji tenaaa
Sifa zaua, haujui hii. Mimi nikimwona nitasema anamkono wa mtoto.
subiri baridi ujifunike na sweta lako.Hata hiyo mimi bado, na mkono wa sweta kwa raha zangu...
mama yangu anamchungulia goro'ngondo ole wake ang'atwe mdomoni.Ya..... Tumbo, Uzazi, Moyo, Koo, Matiti, Kupunguza/Kukuza Makalio.........
Ni lini na hospital gani??
Mimi sijawahi fanyiwa operation hata 1 lakini nina mpango wa kufanya penis enlargement niwashikishe adabu kwa
wanaotaka kufunzwa na Ulimwengu...
View attachment 65369
ya kujifungua hiyo.. au ya kupasuliwa mdudu.me tayari,nilishonwa nyuzi tatu. mwaka 2003
N.B. Sitaki kuulizwa ilikuwa ya nini plz
Mdomo huo! Zimua makali ya ujumbe!
Nway hiro naro nenoo!
Akhuuu,
Nimekushtukia.
Sitakii.
Najua unaipenda, dont be stubbor bwana!
Niko na inch 8....unataka kuiona?
me tayari,nilishonwa nyuzi tatu. mwaka 2003
N.B. Sitaki kuulizwa ilikuwa ya nini plz
Walikuchoma ganzi? Maana naskia hata ganzi huwa hawachomi.
Pole, msalimie aliyesababisha