na kukata kucha pia si itakuwa operation?
Na kukeketwa je?..
....Kutahiriwa je?..
Hata hiyo mimi bado, na mkono wa sweta kwa raha zangu...
Boflo, Kuna mwenzio alikufa kwa kutaka kuukuza, its how you can use it and not how big it is. Tena achana na habari za vijiweni, watakupoteza.
Huwa sipendi kuongea pasipo kuwa na Ushahidi.
Je unaweza ukanionyesha?
Come huku nyuma ya Pazia nichungulie.
Of koz I can, hii imepita kwingi sana ndo ifike hapa ilipo!
sa hapo jamaa anataka aweke heshima wawe wanasema eeh boflo yule ana nyoka kwenye suruali yake :happy: