Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
kuna mshikaji wangu ni eng. Pale tanga cement. Yeye alipata mtoto wa kishua mutoto ya kihaya kwao mboga saba na kazi nzuri anayo. mshikaji naye mkwanja upo. Mtoto akawa anakuja Tanga. Anakaa wknd yote kuanzia ijumaa hadi j2 jion anarudi bongo. Ila demu alikuwa ni mvivu wa kipika hvyo mara nyingi alimtaka msikaji wakale kwa hotel au baa, jaama alimpeleka kama mara mbili tu kwwa zile wk za ugeni. Alivyoona mtoto anazoea alianza kumpeleka kwenye misosi ya kina mama ntile wanaojipanga jioni na meza zao kuanzia pale maeneo ya stendi ya tanga njini taifa road kunziapale brbr ya 13 hdi brbr ya 18,.misosi ya bukubuku kwa mia saba. Akitoka hapo anampeleka kunywa juisi ya miwa kwa wapemba. Ilibidi demu baada ya muda ajivue asepe tu baada ya kuvumilia hako kamtindo kwa miezi 5.jamaa akasema alishamstukia demu sio mvumilivu hivyo alikuwa anampima kuwa kafata hela na status au ni mapenzi ya dhat?
teh teh teh,chezea engineer weye!