vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
mimi alishakuja getto nikasonga ugali akajifanya ugali haupandi nimnunulie chipsi si unajua masista duu nikaufinya peke yangu, nikamwambia hela niliyonayo haitoshi chips.
Akaniomba nauli nikampa 500 alikaa wiki moja hajanipigia simu na mimi nikamkaushia akaona nini sijui akaamua kwenda hewani. Siku nyingine akarudi getto tukapeana mambo
Hehehehehe ikitokea siku tumekutana nidai msimbazi/lakumi/10000.... Umenkosha sana yani we ndo dume... I hate faking (yanini kumfurahisha shetani wakati kiti anaumia)