Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,594
- 9,338
Hapo uliliwa mkuu pole sana
Aah mkuu hujaelewa, ile kupunguza huduma ya chakula na kuongeza huduma ya pombe iliwamaliza nikajisevia kiulaini coz si unajua ukila ze laga bila misosi lazima zikutokee puani? Alipata chake na bado anaamini ninaishi arusha wakati nikimpiia nazuga ndo nimekuja dar, so napata changu! Huo sio ukauzu mkuu?