chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Ushawafi kugombana na mamaa,halafu mkachuniana,then baadae mnarudiana,pata picha mlivyomisiana..penzi linakuwa jipyaaaa...raha sana kuwa na likizo kidogo kwenye mapenzi..jaribuni.
Ila wengine hawanaga likizo,mkigombana tu anasepa mazima,mpaka umrudishe utalia,na kama kasha kabwa na mwingine utakoma..ilintokea sijaribu tenaaaaa.
Ila wengine hawanaga likizo,mkigombana tu anasepa mazima,mpaka umrudishe utalia,na kama kasha kabwa na mwingine utakoma..ilintokea sijaribu tenaaaaa.