Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- Thread starter
- #21
hivi chai ikiwa ya moto sana
miluzi hairuhusiwi ??????lol
unakunywa taratibu,sio unavuuuuta hadi unakua kama una nyanya
shingo juu,...
au ukiona ya moto punguza speed ya kupata breakfast,...
Ingekua uji unaweka kwenye bakuri una zungusha haha