Hivi lazima uwe wa kwako? Kama sio lazima wa kwako nimepata idea. Ili kulifanya jaribio rahisi unaweza ukamwambia mwenza wako wakati umezamia chumvini na mzuka umepanda yeye afungulie mafuriko, nazani kwa mtindo huu sote tutafurahia tiba ya juisi ya mkojo.
hehehe Mimi kesho alfajiri waifu atagundua miujiza kibao kwenye tendo lilobarikiwa, acha nikanunue tambara la deki kabisa just in kesi mzuka ukitukosesha shabaha.Saa zingine una akili kama nini! Wamesema wa asubuhi eh? Ngoja nibake.
nasikia hata mavi nayo ni tiba, napita tu
Nawausieni wote wenye haya Maradhi Sclerosis, Colitis, Lupus, Rheumatoid Arthritis, Cancer, Hepatitis, Pancreatic insufficiency, Psoriasis, Eczema, Diabetes and Herpes. Ikiwa umekwenda hospitali kutumia Dawa na bado hujapona unaumwa ,Basi kunywa mkojo wako kila siku Asubuhi glasi moja kabla Hujala kitu kwa muda wa siku 10 maradhi yako yatakuwa yamekwisha pona jaribu kisha unipe Feedback.
Mkuu Asali haitengenezwi na Takataka mbali mbaliEeeh! Bonge la uvumbuzi! Inawezekana kabisa mkojo ukawa dawa ya ukweli kutokana na ku-contain madin mbalimbali kwani hata asali ni dawa kwa kigezo hichohicho! So, kama unatatizo, usiogope jaribu tu! Ilimradi hauna sumu! Mbona watu asali tunabugui na wakati inatengenezwa na takataka mbalimbali??
Mzee mbona chumvini mnaenda? Hofu ya nn?....Hongera zako Mkuu....Ila napiga picha kichwani ulivyokuwa ukiukinga mkojo wako sijui kwenye glass au kikombe....halafu ukiupeleka kinywani na kuanza kugombana na ladha yake ambayo sidhani kama inapendeza mdomoni.
Mzee mbona chumvini mnaenda? Mbona mnalamba na kulamba koni? Hofu na kinyaa kwn mkojo wako mwenyewe?....Hongera zako Mkuu....Ila napiga picha kichwani ulivyokuwa ukiukinga mkojo wako sijui kwenye glass au kikombe....halafu ukiupeleka kinywani na kuanza kugombana na ladha yake ambayo sidhani kama inapendeza mdomoni.
Hivi best kulamba na kunywa ni sawasawa?
hahahahah lol! Bora unisaidie Best Hapana ni vitu viwili tofauti kabisa pamoja na kuwa vyote mdomo unatumika....