Dah! Mpaka mda huu wameshauriwa watu zaidi ya 400 na zaidi ya 1400 haijurikani wako wapi. Gaddafi amesema atapigana mpaka mwisho na hatokubali kuachia ngazi..
Matatizo ya kuongozwa na raisi kichaaDah! Mpaka mda huu wameshauriwa watu zaidi ya 400 na zaidi ya 1400 haijurikani wako wapi. Gaddafi amesema atapigana mpaka mwisho na hatokubali kuachia ngazi..
wameshauriwa ushauri gani?...kwa nini anashauri mtu mmoja mmoja?
Wachaga hawana shida ya R na L bana.kiswahili kigumu aise...huyo jamaa atakuwa mchaga tu...Wameshauriwa!!!?
Dah! Mpaka mda huu wameshauriwa watu zaidi ya 400 na zaidi ya 1400 haijurikani wako wapi. Gaddafi amesema atapigana mpaka mwisho na hatokubali kuachia ngazi..
kiswahili kigumu aise...huyo jamaa atakuwa mchaga tu...Wameshauriwa!!!?
kiswahili kigumu aise...huyo jamaa atakuwa mchaga tu...Wameshauriwa!!!?
Dah! Mpaka mda huu wameshauriwa watu zaidi ya 400 na zaidi ya 1400 haijurikani wako wapi. Gaddafi amesema atapigana mpaka mwisho na hatokubali kuachia ngazi..