Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Unakuta umesahau unakoelekea au umepotea njia,kurudi nyuma ulikotoka unaona aibu mbele za watu halafu unaanza kushika mifuko ya suruali,jacket au mkoba mbele za watu kuonyesha umesahau kitu,au unajifanya unapokea simu, halafu ndo unarudi ulikotoka kutafuta mwelekeo.(kimoyo moyo unajiuliza hawajanigundua kweli?)