charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,369
Habari wana jamvi,hope wkend inakwenda fresh.
Mimi sio mpenzi wa bongo flava kivile ila kuna wimbo nimeusia "NILIPE NISEPE" kwakweli huyu dogo amejitahidi kuwakilisha one of tabia za watu ambazo binafsi sizipendi!!
Unajua unaweza ukawa na ndugu,rafiki au jamaa,jirani mnaheshimiana vizuri tu ikatokea amepata shida akaja kwako mikono nyuma na maneno mazuri kuomba umsaidie fedha(umkopeshe).Tunajua wote hakuna fedha isiyokuwa na kazi lakini kutokana na maelezo utakayo yapata toka kwa huyo mkopaji unaweza ukaona umuhimu washida yake ukadiriki hata kuahirisha mipango yako flani kwa ajili ya kuokoa jahazi lake.Mnakubaliana vizuri atakulipa ndani ya muda flani ili nawewe usikwame.Shughuli inakuja muda mliokubaliana unafika mtu haonekani,simu hapokei au anapokea ukitaja tu hela anajifanya hakusikii,anabadilisha njia,anabadilisha kijiwe kifupi ni kwamba anakukwepa na ujajikuta umeingia kwenye matatizo kwa ajili ya huruma yako.
Umeshawahi kukumbwa na hili?
Mimi sio mpenzi wa bongo flava kivile ila kuna wimbo nimeusia "NILIPE NISEPE" kwakweli huyu dogo amejitahidi kuwakilisha one of tabia za watu ambazo binafsi sizipendi!!
Unajua unaweza ukawa na ndugu,rafiki au jamaa,jirani mnaheshimiana vizuri tu ikatokea amepata shida akaja kwako mikono nyuma na maneno mazuri kuomba umsaidie fedha(umkopeshe).Tunajua wote hakuna fedha isiyokuwa na kazi lakini kutokana na maelezo utakayo yapata toka kwa huyo mkopaji unaweza ukaona umuhimu washida yake ukadiriki hata kuahirisha mipango yako flani kwa ajili ya kuokoa jahazi lake.Mnakubaliana vizuri atakulipa ndani ya muda flani ili nawewe usikwame.Shughuli inakuja muda mliokubaliana unafika mtu haonekani,simu hapokei au anapokea ukitaja tu hela anajifanya hakusikii,anabadilisha njia,anabadilisha kijiwe kifupi ni kwamba anakukwepa na ujajikuta umeingia kwenye matatizo kwa ajili ya huruma yako.
Umeshawahi kukumbwa na hili?