Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,393
watoto wako wanataka uwafundishe kupigana Mkuu, je unao ubavu na huo
mkono au wavute subira?
ngoja nipone huu mkono, nitawafunza, zile za kichina china................
watoto wako wanataka uwafundishe kupigana Mkuu, je unao ubavu na huo
mkono au wavute subira?
Sijawahi toka nizaliwe, wala sina huo mpango... Mie ni muoga sana wa kupigana asee.. Nna hakika ikitokea mtu anataka nipigane nae lazima ntadundwa...lol
ngoja nipone huu mkono, nitawafunza, zile za kichina china................
ukinisemea kwa PAW mi nakusemea kwa RR, ngoma droo..
Endelea hivyohivyo mkuu,ugomvi sio mzuri. Nalog offMkuu mi siwezi kupigana,mpaka nipigane labda nimechokozwa sana
Unamaanisha na mie ni mgomvi? Nalog offkweli avatar inafanana na tabia ya mtu.
Dah! Hongera yako mwaya,usipigane ni hatari. Nalog offSijawahi toka nizaliwe, wala sina huo mpango... Mie ni muoga sana wa kupigana asee.. Nna hakika ikitokea mtu anataka nipigane nae lazima ntadundwa...lol
Kupigana kupi?mambo zenu.Vipi wenzangu mshawahi kupigana? Ilikuwa lini? Ulipigana na nani? Kwanini ulipigana? Je ulishinda/droo au ulidundwa? Nalog off
Kupigana kwenye ugomvi kwa kuchokoza/kuchokozwa au kuingilia. Nalog offKupigana kupi?
Vipi matokeo ulishinda,ulidundwa au ngoma droo? Nalog offStd 1.
Hahaha! Ntakuja ila yatokanayo na kumwekea ur h'band maji ya kuoga tusilaumiane! Uyakubali kwa moyo wako wote!Nimeshakujua utanikoma sasa! Kwanza uwe unakuja kumuwekea kakake ashadii maji ya kuoga kila siku hadi tufunge mabomba bafuni
Sijawahi toka nizaliwe, wala sina huo mpango... Mie ni muoga sana wa kupigana asee.. Nna hakika ikitokea mtu anataka nipigane nae lazima ntadundwa...lol
Hahaha! Ntakuja ila yatokanayo na kumwekea ur h'band maji ya kuoga tusilaumiane! Uyakubali kwa moyo wako wote!
mmmmmh!
mmmmmh!
Hahahaha! Mie penda wewe thana...mkweo anaguna nini? Muulize anataka tupigane au?Sharing is caring! Mie sina shida na ww manake najua akikuhonga jeep cherokee mara moja moja nakuja kuiazima niendee shamba! Tena hakikisha anakua anakuwekea full tank eeh!