Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
mambo zenu.Vipi wenzangu mshawahi kupigana? Ilikuwa lini? Ulipigana na nani? Kwanini ulipigana? Je ulishinda/droo au ulidundwa? Nalog off
Nakutakia ushindi ktk pambano lako ,ukimaliza kumtovuga mpige ngumi ya jicho,ila usipigane sehemu ambayo hakuna mawe,na kumbuka ya kuwa silaha ya mwisho ni mbio. Nalog offMie kesho wallahi huenda nikapigana, kuna hayawani namdai vidani vyangu vya dhahabu! Na nitahakikisha namtovuga!
Mie kesho wallahi huenda nikapigana, kuna hayawani namdai vidani vyangu vya dhahabu! Na nitahakikisha namtovuga!
Mie kesho wallahi huenda nikapigana, kuna hayawani namdai vidani vyangu vya dhahabu! Na nitahakikisha namtovuga!
mambo zenu.Vipi wenzangu mshawahi kupigana? Ilikuwa lini? Ulipigana na nani? Kwanini ulipigana? Je ulishinda/droo au ulidundwa? Nalog off
mbona una vituko sana, last week tumepata tabu ya kukuandalia kivazi
leo tena unataka boxing, wewe mtoto una tatizo gani,
kwanza vipi mtoko ulifanikiwa kumliwaza jamaa.
Hata wewe umeona eh! Mbona huyu binti ana visa!
Baba,mi utanifundisha lini kupigana?
Mh, hufananii na asiyejua kupigana. lol
Na hilo li gun ulilonalo mkononi??Baba,mi utanifundisha lini kupigana?
Na hilo li gun ulilonalo mkononi??
Tanmo staki uchokozi wako! Ntakusemea kwa paw!!
Na hilo li gun ulilonalo mkononi??
Hata wewe umeona eh! Mbona huyu binti ana visa!
Baba,mi utanifundisha lini kupigana?
nipe ripot ya j,mosi best!!Mie kesho wallahi huenda nikapigana, kuna hayawani namdai vidani vyangu vya dhahabu! Na nitahakikisha namtovuga!
Leta habari ya mtoko bana!Mie kesho wallahi huenda nikapigana, kuna hayawani namdai vidani vyangu vya dhahabu! Na nitahakikisha namtovuga!