decomm
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 726
- 655
Upload youtube then uilink hapa
Kwa mwenye muda tu, ni clip ya zaidi ya dk 60
Naamini baadhi yetu tutajifunza kitu. Kila la heri.
Upload youtube then uilink hapa
Kweli kuna watu ni mashetani... Mpaka watoto????? Dunia imevaa boxerchild pornography
nimefika huko kwa kupitia my android deviceKweli kuna watu ni mashetani... Mpaka watoto????? Dunia imevaa boxer
Mkuu ngoja nijaribu kwa pc , maana haina cha maana chochote , ila kwa simu hapana naogopa , nisije nikakuta visent vyangu wameramba vyote... Ngoja nijaribu soon nitaleta mrejesho .... Wasalaaammnimefika huko kwa kupitia my android device
ILA KUNA UPLOADS ZINAFANYIKA KTK SIMU YAKO BILA WEEE KUWA UMERUHUSU INABIDI KUWA MAKINI KWELI KWELI
NIMEFIKA HUKO KUPITIA VITU VITATU
1. orbot
2. orfox(hii ndio browser yenyewe mbadala wa tor browser ya desktop)
3. link alizo weka gstar hapo juu.
Kwamba kompyuta haiwezi kuzimika, huu sasa ni uongo uliopitiliza.Mmh!! Hata msifikirie kwenda deep web...
Vitu kama youtube... google... yahoo... na zinginezo mzaziona hapa... huko ni balaa...
Hapako salama hata kidogo... ukifanikiwa kuingia... hisitoria yako yote ya kwenye mtandao ina kuwa track up... mambo yote uliyokwisha fanya yanakuwa wazi...
Kama wewe siyo professional hacker.. unaweza ukashangaa ukawa muhanga wa mambo mabaya na machafu...
Wote mnaotaka kwenda huko chunguni sana.. IP au static IP addreaa zenu zisiweze kuwa tracked... laa sivyo mmh...
Mtasikia tu fulani kapotea kwenye mazingira ya kutatanisha ndiyo hivyo tena.. unaenda kufanyia live show za mambo mabaya na machafu...
Porn za huku ni za 18+ za huko ni za 11-
Biashara haramu zimejaa huko... ukiagizia kitu.. baada ya kufanya mihamala na credit card yako... wanadukua taarifa zote.. na kuambiwa unaweza kuvipata au kutovipata kulingana na mazingira yatakavyoruhusu... sababu ni magumashi...
Uki agizia kitu taarifa zinazokuja duniani ni kama vile imeagizia kipande za sabauni... kumbe ni mambo ya ajabu umeagizia...
Kuna site huwezi kuingia mpaka uwe hacker... na ukiingia huwezi kuzigunga yani kutoka kwenye hiyo web page.. mpaka waamue wao na huwzi kuzima mashine yako... wana ku pin... huwezi fanya chochote na kifaa chako...
Panaogopesha sana... kweni makini sana.. na Deep web... msitembelee vitu vinavyoitwa black box...
Msijaribu hata kwenda huko.. endeleeni tu ku stream makatuni youtube... huko uwe na roho mbaya...
Mkuu nimeingia huko deepweb ila naona pa kikuda tu.. Mara mia hii yakwetu sie.. Huko naona hakuna cha maana wala chochote interestingnimefika huko kwa kupitia my android device
ILA KUNA UPLOADS ZINAFANYIKA KTK SIMU YAKO BILA WEEE KUWA UMERUHUSU INABIDI KUWA MAKINI KWELI KWELI
NIMEFIKA HUKO KUPITIA VITU VITATU
1. orbot
2. orfox(hii ndio browser yenyewe mbadala wa tor browser ya desktop)
3. link alizo weka gstar hapo juu.
Ngoja waendelee kutupa vitu tutaelewa tu,lakini mbona wamesema ukitumia tor browser unakuwa salama vp tena mnatutisha?Kwamba kompyuta haiwezi kuzimika, huu sasa ni uongo uliopitiliza.
Mkuu iko hivi tor browser Ina VPN yake kwa hiyo ukiinstall inakuunganisha kwenye network yao na inakupa IP nyingine, kutumia tor Google my IP utaona kompyuter aonyesha upo sehemu nyingine.Ngoja waendelee kutupa vitu tutaelewa tu,lakini mbona wamesema ukitumia tor browser unakuwa salama vp tena mnatutisha?
150.14 ɃBTCumetumia bitcoin ngapi?
Pole sanaPumzi kubwa...
Nimehangaika sana kuitafuta hii thread..!!!
Sasa ngoja nianze RESEARCH yangu..!
Ahsante..!Pole sana
Watu wengi wanatumia mtandao wa Internet ku-explorer website mbalimbali, lakini kumbe website tunazo zitembelea ni asilimia chache sana ya website zilizo jificha zinazoitwa 'deep web'.
Hata ukitumia traditional search engine kama google.com na yahoo.com utaweza kupata asilimia chache kama 20% ya information zote zilizo kwenye Internet. Kumbe kuna taarifa nyingi ambazo zipo kwenye mtandao ambazo hatuna access nazo, zaidi ya 80%.
Inakadiriwa kwamba ukubwa wa data zilizo kwenye deep web au dark web ni mara 400 ya taarifa zilizopo kwenye website za kawaida.
Deep web kumbe yaweza kufananishwa na pande la barafu linalo elea baharini ambapo ni kipande kidogo tu kitakacho kuwa juu ya maji na asilimia kubwa huwa chini ya maji na si rahisi kuiona.
NINI KIPO KWENYE DEEP WEB
Taarifa nyingi za kutishwa na kuogofya zinapatikana huko kwenye deep web, pia kuna mamilioni ya websites yaliyojaa uchafu wa kila aina.
Mfano ni website kama Hiden Wiki ambayo ni kubwa na ina taarifa nyingi zaidi ya normal wikipedia, Pia mitandao mingi inayo ishia na .onion inahifadhi taarifa za deep/dark web.
WATUMIAJI WA DEEP WEB
Watumiaji wakubwa wa deep web ni watu ambao hawataki taarifa zao zijulikane kirahisi mfano Wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya, wanao fanya biashara za binadamu, wezi wa mitandaoni(proffesional hackers), majasusi, majambazi wa kimataifa, picha chafu za ngono na zisizo ruhusiwa n.k.
JINSI YA KU EXPLORER DEEP WEB
Ukitaka ku explorer deep web kwanza lazima uwe na Browser maalumu kwenye pc yako mfano Tor Browser inapatikana katika platform mbalimbali kama windows linux pamoja na mac. Fuata maelekezo ya kuinstall ukisha install Tor Browser waweza kuanza kupitia link zifuatazo.
http://7g5bqm7htspqauum.onion/ Hidden Wiki - Tor Wiki Hidden Service link collection
http://zgrl6sghf5jh37zz.onion/ Hidden Wiki - Onion Urls, Deep Web Links
http://xqrqbzhii6m6sdrv.onion/ OnionDir - Deep Web Link Directory
http://udsmewv45lunzoo4.onion/ TorLinks - Onion Links List Hidden Wiki mirror
Ukiweza kukamilisha kupitia baadhi ya link uje hapa utupe mrejesho.
Warning: Usitumie deep web if you are not brave enough.
Ahsante
Viashiria kama vipi
So ushapewa maelekezo na links sasa unataka utafuniwe nn zaid?