Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Jamani wadau binafsi nina watu 20, na wazee wakiwemo ambao wamekubali kusaidia kuitoa CCM madarakani kwa kuinyima kura zao 2015.JE WEWE UMEWAELIMISHA WANGAPI JUU YA UMUHIMU WA KUPIGA KURA NA KUICHAGUA CHADEMA?weka idadi tufanye tathmini.