Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Nimefuta kauli.
Kuna baadhi wa mabinti sijui
wakoje sijui ni Gundu, ki-nnya au mkosi
Ukigonga tu kuna moja kati ya haya itatokea
1. Ufukuzwe kazi, na ikitokea hili hadi
uachane nae ndio unapata kazi (hapa niko
na ushuhuda) 2. Ufe (hawa unaweza ukafia
kifuani, au ukitoka tu ajali haziishi kwako) 3.
Shwari tu (Hawa ndio wako blessed) Wadau
tuwe makini
Sasa nitajua je kama huyu yuko kwenye kundi gani? Au mpaka yanikute? Na nikifa sasa itakuwa nimejisaidia je, walau ungetupa njia ya kuepukana na hao mabinti.
kazi ipi mwali, ngoma umeiona nzito eee ndio hivo tena weka mchango wakoeeeeh kazi ipo!
kazi ipi mwali, ngoma umeiona nzito eee ndio hivo tena weka mchango wako
Nimefuta kauli.
ramli tu mkuu inakupa majibu yote sahihi, hamna haja ya tafiti ambazo nyingi ni za kukopi na kupesti.Bujibuji wa Mbujimayi....................duh! what was your research methodology?