Domenia
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 462
- 22
Nina pongesa sana kampuni za simu Tanzania kwa kua wabubufu na kubuni mambo yanayo wiana na mazingira yetu!!
mafano M.Pesa ya vodacom..Tigo na utamulisho wa extreme na mambo mengine mengi yalio fanywa na Zain hata Zantel vile vile...
Lakini Ulisha wahi kufikiria hata Mpesa ina weza kutumiwa wakati wa Kutoa na Kupea Rushwa!!?