K KakaNanii JF-Expert Member Sep 28, 2008 325 52 Aug 17, 2012 #1 Wtu wanatanua VIFUA tayari kwa mpambano ! Ukikutana nao USIKU kwenye kichochoro shauri yako ! Attachments WATU WAN TANUA VIFUA.jpg 38 KB · Views: 972
kitalolo JF-Expert Member Dec 4, 2006 1,827 707 Aug 17, 2012 #2 zamani wakinadada walikuwa wanpenda sana wenye vifua siku hizi usipokuwa na hela we huna maana hata kama unakifua kaa kontena
zamani wakinadada walikuwa wanpenda sana wenye vifua siku hizi usipokuwa na hela we huna maana hata kama unakifua kaa kontena
Asulo JF-Expert Member Jun 25, 2012 719 251 Aug 17, 2012 #3 Ni mambo ya kizamani hayo... Wanatanua kifua ili iweje?????? Hawana kazi hao kutwa kushinda kijiweni kubeba vyuma,jioni ndo wezi wenyewe hao.
Ni mambo ya kizamani hayo... Wanatanua kifua ili iweje?????? Hawana kazi hao kutwa kushinda kijiweni kubeba vyuma,jioni ndo wezi wenyewe hao.
SIMBA WA TARANGA JF-Expert Member Feb 14, 2012 987 220 Aug 18, 2012 #4 Hizi gym wangewekewa askari polisi. ingependeza.
Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,193 3,011 Aug 18, 2012 #5 mabaunsa wa vijijini. badla ya kuekeza mda na nguvu zao kwene kilimo..
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Aug 18, 2012 #8 kitu dona na saiti mila wat a meal....
Mr. Bigman JF-Expert Member May 7, 2011 2,560 1,299 Aug 18, 2012 #11 Mnawaonea wivu tu! Hapo hakuna Bp kisukari wala kansa. Hata malaria hayatii mguu,sembuse fangas! Ha! ha! ha! ha!
Mnawaonea wivu tu! Hapo hakuna Bp kisukari wala kansa. Hata malaria hayatii mguu,sembuse fangas! Ha! ha! ha! ha!
Simba Mkali JF-Expert Member Jan 31, 2012 620 239 Aug 23, 2012 #12 Unajua watu hawa wanahatarisha maisha yao kwa kubeba hii kitu bila vipimo maalimu hatimaye upande mmoja kifua kinatanuka ziadi ya mwingine.
Unajua watu hawa wanahatarisha maisha yao kwa kubeba hii kitu bila vipimo maalimu hatimaye upande mmoja kifua kinatanuka ziadi ya mwingine.
manuu JF-Expert Member Apr 23, 2009 4,064 10,723 Aug 23, 2012 #13 I like it... Mazoezi muhimu sana kwa afya siyo ili upate mademu.
MATESLAA JF-Expert Member Aug 11, 2011 1,246 74 Aug 23, 2012 #14 Aiseee baba yangu nadhani wanajiandaa na 2015,,,kwa mwanamke ukikutana nao msitu wa pande lazima uvue underweya
Aiseee baba yangu nadhani wanajiandaa na 2015,,,kwa mwanamke ukikutana nao msitu wa pande lazima uvue underweya
majorbuyoya JF-Expert Member Apr 1, 2012 1,828 564 Aug 23, 2012 #15 Sina uhakika kama wanabeba kwaajili ya mabinti na kukaba au vinginevyo, kama lengo lao ni kujiweka vizuri kimazoezi basi nawaunga mkono.
Sina uhakika kama wanabeba kwaajili ya mabinti na kukaba au vinginevyo, kama lengo lao ni kujiweka vizuri kimazoezi basi nawaunga mkono.
S Sukula JF-Expert Member Jun 16, 2012 1,198 447 Aug 23, 2012 #16 wala hakuna ubaya wowote,wanafanya mazoezi kwa raha zao hadi nawaonea wivu.
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 868 Aug 23, 2012 #18 Namna wanavonyanyua haya makitu maeneo haya, ni wazi wanatumia hii nguvu kwa manufaa mengine. sio mazoezi tu haya.
Namna wanavonyanyua haya makitu maeneo haya, ni wazi wanatumia hii nguvu kwa manufaa mengine. sio mazoezi tu haya.
Duduwasha JF-Expert Member Nov 3, 2010 5,703 3,653 Aug 23, 2012 #19 oi hawa wapo sawa tatizo Lishe naona hawajaweza kui balance so Wataishia Kukomaa na kupinda au kujaa ndivyo sivyo
oi hawa wapo sawa tatizo Lishe naona hawajaweza kui balance so Wataishia Kukomaa na kupinda au kujaa ndivyo sivyo
kadoda11 JF-Expert Member Jan 6, 2011 21,453 20,712 Aug 24, 2012 #20 serio said: baaaaaaaaaaada ya hapoooooView attachment 62274 Click to expand... ....halafu wanajiita mabaunsa!!!
serio said: baaaaaaaaaaada ya hapoooooView attachment 62274 Click to expand... ....halafu wanajiita mabaunsa!!!