Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Wanaume wengi tunashindwaga hapa!! Sijui ni kwanini . . . ??!! Mi nimejifunza sana hapa saa hizi!!
Tena afadhali wanaume my dia wanawake ndio kabisa tunapenda kulaumu bila kuchunguza ni wapi na sisi tunachangia au kukosea mimi katika mahusiano yangu yote yaliyopita huwa nalaumu halafu najichunguza na mie nilikosea wapi then maisha yanaendelea. Ila sasa hivi hata nikiwa na uhusiano na mtu silaumu kiviiiiiiiiiiile akijifanya kunitenda kwani umri wa kudanganywa umeshapita. Lolote linalotokea nakua nimejitakia mwenyewe