HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,565
Hilo nalo neno, mtuombee jamani tunategwa mno huku makazini na kwenye mabiashara yetu na wanawake wenzenu wasio na huruma kwenu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh tungeombeana 2 maana hata ss tunasumbuliwa sana na mibaba wenzenu isiyo na haya lol.Hilo nalo neno, mtuombee jamani tunategwa mno huku makazini na kwenye mabiashara yetu na wanawake wenzenu wasio na huruma kwenu!
Pdidy, wewe mumeo hana 'small house(s)?Kuna wamama wengi tumekuwa kimya sana na wengi wamekuwa kimya sababu
awataki kujua jukumu lao...baibo inasema wanawake watawalinda mumewe
wewe kama mke umemlindaje mumeo??ujawahi kukesha hata kumuombea mungu amuepushe
na zile small houses....anyway nisikupe desa msikate tamaa jitahdi kumuombea mumeo maombi
ni nguvu kubwa katika maisha yenu ya kila siku
mungu awabariki
Pdidy kumbe wewe ni mwanamke? mi kila siku najua ni mwanaume...
My own sister did that, na aliishia kufa kwa ukimwi mwaka 2009!Tena yeye mumewe alikuwa hana kazi toka 1987, akawa anamlisha, na kumvisha plus starehe zingine zooote!Mwanaume akabatizwa jina la FATAKI WA ILALA, kila siku hukosi chupinya bar maid kweney gari. Sister alimuombea sanaaa, hadi anafariki analiombea hilo jibaba!To be honest, wanaume mlio wengi akili zenu zinaongozwa na viungo vyenu vya kiume ndo mana mna uwezo wa kuwazalisha vichaa!Umesema kweli sister, kuna wanawake walokuwa wanakesha kuwaombea waume zao na hawakubadilika na small houses wakaziongeza kwa wingi!! Unaweza guess nini ilikuwa hatma ya hizo ndoana! Wanaume mifyagio sio kabisa!
Yaani!
2012 ina maajabu! Hujaona hata MALARIA SUGU imegeuka kuwa SHE!
Hilo nalo neno, mtuombee jamani tunategwa mno huku makazini na kwenye mabiashara yetu na wanawake wenzenu wasio na huruma kwenu!
my own sister did that, na aliishia kufa kwa ukimwi mwaka 2009!tena yeye mumewe alikuwa hana kazi toka 1987, akawa anamlisha, na kumvisha plus starehe zingine zooote!mwanaume akabatizwa jina la fataki wa ilala, kila siku hukosi chupinya bar maid kweney gari. Sister alimuombea sanaaa, hadi anafariki analiombea hilo jibaba!to be honest, wanaume mlio wengi akili zenu zinaongozwa na viungo vyenu vya kiume ndo mana mna uwezo wa kuwazalisha vichaa!
Wanawake, sikatai muwaombee hao waume zenu, ila ukiona mtu habadiliki please chukua hatua, usijiumize bure kwa kukosa maarifa!