Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,419
- 21,241
Kuna wamama wengi tumekuwa kimya sana na wengi wamekuwa kimya sababu
awataki kujua jukumu lao...baibo inasema wanawake watawalinda mumewe
wewe kama mke umemlindaje mumeo??ujawahi kukesha hata kumuombea mungu amuepushe
na zile small houses....anyway nisikupe desa msikate tamaa jitahdi kumuombea mumeo maombi
ni nguvu kubwa katika maisha yenu ya kila siku
mungu awabariki
awataki kujua jukumu lao...baibo inasema wanawake watawalinda mumewe
wewe kama mke umemlindaje mumeo??ujawahi kukesha hata kumuombea mungu amuepushe
na zile small houses....anyway nisikupe desa msikate tamaa jitahdi kumuombea mumeo maombi
ni nguvu kubwa katika maisha yenu ya kila siku
mungu awabariki