figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Haruna Masebo (katikati) akimkabidhi leseni ya uzalishaji wa umeme wa upepo, Mkurugenzi wa kampuni ya Wind EA, Rashid Shamte,wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Kampuni hiyo imepewa leseni ya kuzalisha umeme wa upepo wa 100mw kwa kipindi cha miezi 30. mia