PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Wanajamvi,
Magazeti mengi ya leo yameandika juu ya hali hii ya kutisha ya kupanda kwa bei ya UMEME kwa asilimia 18.5 ya bei ya sasa...Zoezi hili linaanza mapema Januari 2011, na lina baraka zote toka EWURA.
Hali hii inakuja wakati kuna shida kubwa ya mgao, na tena usio na taarifa wala apology.
Wanajamvi, huu ndiyo mwisho wetu wa fikra juu ya kubuni namna mbadala za uzalishaji?...mateso haya yataendelea hata lini?...Labdsa kuna wanajamvi wengine wana altenatives za kusaidia kuepusha taifa hili na janga la unreliability ya uwepo na bei za umeme, atusaidie.
Magazeti mengi ya leo yameandika juu ya hali hii ya kutisha ya kupanda kwa bei ya UMEME kwa asilimia 18.5 ya bei ya sasa...Zoezi hili linaanza mapema Januari 2011, na lina baraka zote toka EWURA.
Hali hii inakuja wakati kuna shida kubwa ya mgao, na tena usio na taarifa wala apology.
Wanajamvi, huu ndiyo mwisho wetu wa fikra juu ya kubuni namna mbadala za uzalishaji?...mateso haya yataendelea hata lini?...Labdsa kuna wanajamvi wengine wana altenatives za kusaidia kuepusha taifa hili na janga la unreliability ya uwepo na bei za umeme, atusaidie.