:cool2: Wanajamvi sisi huku moshi wamekata umeme mida hii nahofia kutoutazama mkutano wa makamanda jangwani,naomba MAGAMBA wawe wastarabu kwani hawawezi kuzuia moto wa mbadiliko kwa hila za kitoto namna hii.TURUDISHIENI UMEME TUONE UKOMBOZI WA TAIFA LETU JANGWANI DAR.