Umeme wakatisha maisha ya vichanga Hospitalini Muhimbili

Jamani Jenereta ya kukaa standby kama pale Muhimbili inagharimu karibu dola laki moja hivi na kidogo. Kimsingi mnachosema ni kuwa katika Wizara yetu ya Afya hakukuwa na mtu yeyote ambaye angeweza kuchukua dakika chake kuangalia mtandao na kugundua kuwa zipo "Standby Generators" ambazo tunaweza kuzimuda na tunaaweza kununua moja kwa moja toka kwa watengenezaji.

kwa vile mimi ni mzalendo nimewapa website ya kampuni ambayo ni "maslahi" kidogo. Nawashauri wawasiliane nao na wakiulizwa nani amewarefer waandike, http://www.klhnews.com ili na miye nipate katenda kidogo.

http://www.generac.com/Default.aspx

Kiwira coal mine au kampuni nyingine!?
 
Back
Top Bottom