Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kweli kuna generator basi itakuwa ilishabinafsishwa na viongozi wa huo uwanja au tff,sitaki kuamini kwamba ishu ni mafuta..Uongozi wa uwanja wa Taifa ni mbovu kabisa, generator zipo, zilikuwa hazina mafuta! can you believe it?
You can't be serious FF! Tell me you are joking...Uongozi wa uwanja wa Taifa ni mbovu kabisa, generator zipo, zilikuwa hazina mafuta! can you believe it?
Uongozi wa uwanja wa Taifa ni mbovu kabisa, generator zipo, zilikuwa hazina mafuta! can you believe it?
Au ingekuwa wakati wa mikwaju ya penati.......Bado najiuliza maswali tena magumu, je kama ndo zingekuwa zimebaki dakika 20 ili mpira uishe ingekuwaje, ama kweli hii nci haina viongozi kabisa.. Hiii ni aibu dunia nzima kwani ss4 na ss9 zinaonekana dunia nzima,
Umeme umekatka uwanja wa taifa, kombe bado halitatolewa
ahahahahaaah!!! Mkuu ulikuwa wapi? Yanga kashinda goli moja na ndio bingwa wa Kagame cup!kwani matokeo yapoje/