Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Geniva, Uswisiarusha sehemu gani?
Geniva, Uswisiarusha sehemu gani?
Kuchomoka kwa gridi ya taifa kivipi?jidadavue basi usije kwa kukurupuka na je umefanya reseach kweli na kugundua muda huu nchi nzima haina umeme?usije kiporojo zaidi njoo kwa fact mkubwa.
generetaWa grid??
kweli lakini kuna mingurumo ya genereta ile mbaya!Arusha yote umeme upo!
Unataka kumfurahisha nani? Hamna umeme labda Monduli kwa gamba msaidiziArusha yote umeme upo!
pole sana mkuu nami ngoja nikajivue gamba pale ndassa club.nimeongea na mtu yupo tarakea anasema umeme hakuna!sie wa dar tushajizoelea!ngoja nkapate tusker baridiiiii nipunguze stress manake ukiwaza sana unaweza kupata kisukari ukafa kabla ya siku zako!