Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Vilio vyatanda kwenye wodi ya wazazi kutoka kwa watoto wachanga na maneno ya kashfa kwenye wodi nyingine zenye watu wazima hapa hospitalini kwa viongozi na serikali ya Kikwete baada ya nishati ya umeme kuondoka hapa majira ya saa 18:22.Wapo watakao poteza maisha kutokana na kukosekana kwa umeme usiku wa leo,japo wapo wanaoona ni haki yao kuwa kwenye mgao kwani wameshazoea.Naomba kujua serikali hii itaweza kutuambia vifo na hasara ya mali iliyosababishwa na kukosekana kwa nishati tangia mgao huu umeanza?Source mimi mwenyewe Mwananyamala.