Umeme wakatika bungeni, waziri aomba mshumaa (aibu)

kwani si hata bungeni kuna ratiba ya ka-mgao ka umeme?? hivi ratibaya ya mgao ikulu na pale kwenye nyumba za magogo mawaziri ni lini? nataka nikafungue genge la mishumaaa na chemli zinazotumia gongo kama source ya energy
 
Kwani Bunge halina standby DEG? I mean Deasel engine generator?
Inawezekana ipo lakini si unajua nchi yetu utaambiwa ilikua haina diesel au mhusika kanywea fungu lake
ni sawa na kupiga simu Fire station wanakuambia ndio wanaziba pancha baadae wakajaze maji au
kupiga simu polisi kuomba msaada wanakuuliza una hela ya diesel tuje makubwa ndiyo maana mleta hoja kasema joo bongo ujionee.
 
bilioni wamekula wao ni lazima wakubali yote, hata genereta imewashinda loh, njaa za kuendekeza zinatumaliza.
 
Watanzania kwa majibu mepesi mepesi una ubia na Kikwete nini maana yeye alisema siyo mawingu ya mvua anyeshe maji yajae.
Tujaribu kuwa critical kidogo kwenye mambo ya msingi vinginevyo hatutaendelea milele.

nakubaliana na wewe!!!
 
Ndiyo tunajua tanzania yote iko kwenye tatizo la umeme lakini mahitaji na matumizi yake yanatofautiana huwezi kulinganisha madhara ya kukosa umeme hospitalini na kwenye bar kwa vile wote waliomo ni wananchi walewale. Jiulize kwanini waziri wa michezo aliomba radhi kukatika kwa umeme wakati wa mashindano ya Kagame na kwa nini wasiombe radhi kukatika kwa umeme jana Bunju au Kibaha kwa Mathias.

Nice argument with arranged premises and reasoining, hata bwana Chapakazi naye alikuwa amekutacle vizuri, hapa ndo kweli JF inakuwa ya great thinkers. Kweli utofauti upo. Safi sana yaani JF inabidi iwe reference centre kwa vijana wetu wanaosoma ili wajue jinsi ya kujenga hoja na kujibu hoja vilevile,
 
Bunge linapesa za kutoa posho tu hawana hata standby generators duu hii kazi sana maneno maneno tuu mpaka siku wakitoka kwenye vioja hivyo
 
Back
Top Bottom