TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
ni juzi tu wzr wa giza alisema megawat zimeongezeka kwenye grid ila cha ajabu mimi nipo sengerema toka juzi umeme unakatika na kurudi kama taa za disco kilicho nisukuma kuandika hili ni kutaka kujua ni nchi nzima au ni huku tuuu.....yule mdada wa tannesco hawaja sema lolote