kudadeki.....ndo naingia chimbo baada ya umeme kunipunja w/end yangu......nina tanesco wallah......
Umeme upo, mchana tu ndio ulikatika baadhi ya maeneo, but kwa sasa naona upo tu kote! Anyway, Tanesco wanafahmu zaidi sababu za kukatika katika wa umeme!Mmmh!! Nipo ilala bungon na hakuna umeme.. By the way umerudi!!
Tunabadilisha nguzo ili kukabiliana na mvua za alinino!!
Tutakua kwenye service hii mpaka tar 26.09...wananchi tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza na nikiwa kama waziri natanga kwamba kila mwananchi anayetumia luku atapewa unit 40 bure kama kumpoza na usumbufu alioupata,mungu ibariki TZ,mungu ibariki CCM yetu.
Arusha haupo kote. Wanatuonea sana hawa tanescoccm
Sijui kama ni la kweli ama la, ila kwa mkoa niliopo hakuna umeme na baadhi ya watu niliocontact nao wanasema maeneo waliyopo hayana umeme.
Uzushi gani!?? mi niko Tabata Kimanga DSM nimeamuka asubuhi nikakuta giza mpaka muda huu hakuna umeme kabisa.Acha uzushi...DSM upo wa kumwaga!!!