Umeme umekatika nchi nzima.

kudadeki.....ndo naingia chimbo baada ya umeme kunipunja w/end yangu......nina tanesco wallah......
 
hata huku bungeni chadema hakuna!
A%20S%20angel.gif
 
Mmmh!! Nipo ilala bungon na hakuna umeme.. By the way umerudi!!
Umeme upo, mchana tu ndio ulikatika baadhi ya maeneo, but kwa sasa naona upo tu kote! Anyway, Tanesco wanafahmu zaidi sababu za kukatika katika wa umeme!
 
Tunabadilisha nguzo ili kukabiliana na mvua za alinino!!
Tutakua kwenye service hii mpaka tar 26.09...wananchi tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza na nikiwa kama waziri natanga kwamba kila mwananchi anayetumia luku atapewa unit 40 bure kama kumpoza na usumbufu alioupata,mungu ibariki TZ,mungu ibariki CCM yetu.

Nguzo mnabadilisha saa 6-7 za usiku??!! Tena wkend!!?
 
Hata moro town na viunga vyake walikataaaa. Kweli tanescoccm wanahamia digital.
 
Sijui kama ni la kweli ama la, ila kwa mkoa niliopo hakuna umeme na baadhi ya watu niliocontact nao wanasema maeneo waliyopo hayana umeme.

Yule prof wa umeme pamoja na misifa yote aliyopewa hapa JF, mmh kazi kweli kweli! Time is the best advocate!
 
Hii imetusaidia kujua sehemu walipo wana JF. Hongereni kwa kujitambusha. Na mimi labda niseme Dar maeneo ninayoishi sikujua kama wenzetu mlikatikiwa...kwetu ulikuwa wa kucheba...
 
Back
Top Bottom