Majira ya saa sita kasoro usiku maeneo ya hapa k'ndon mkwajun umeme ulikatika,m2 wa mwananyamala akanambia kwake pia umekatika,pia kuna m2 huko moro kasema umekatika,je hapo ulipo wewe umeme upo kwa usiku huu?
magogon ya feri,chu0ni au ikulu?
Itakuwa kuna mzigo wa magendo ulikuwa unaingizwa
ndo nchi nzima?
Du...! Mwanza umekatika jana saa sita usiku hadi mida hii hatujauona. Kuna mwenye feedback atujuze tatizo ni nini?
Yes..........kwani si ni wale 14% tu ya watanzania wakikosa umeme ndo tunasema nchi nzima...?? Maana hao wanaobaki 86% wao kila siku hawanando nchi nzima?
Yes..........kwani si ni wale 14% tu ya watanzania wakikosa umeme ndo tunasema nchi nzima...?? Maana hao wanaobaki 86% wao kila siku hawana