- Thread starter
- #21
Hata huku magogoni ulikatika.
magogon ya feri,chu0ni au ikulu?
Hata huku magogoni ulikatika.
Umekatikana kurudi zaidi ya mara 2 usiku wa kuamkia leo...
Ni kweli Bajabiri hapa Dom muda huo huo ulikatika kama mara tatu tofauti mida ya saa sita usiku
uku bukoba kama tuko ulaya, hatujui dowans wala richmond! ful umeme mwanzo mwisho toka uganda. uganda oyeeee! mseveni oyee.
pia, huku maganzo kishapu ulikatika,,
uku bukoba kama tuko ulaya, hatujui dowans wala richmond! ful umeme mwanzo mwisho toka uganda. uganda oyeeee! mseveni oyee.
uku bukoba kama tuko ulaya, hatujui dowans wala richmond! ful umeme mwanzo mwisho toka uganda. uganda oyeeee! mseveni oyee.
najua kwanini walikata. mkw.ere alikuwa anatoka mlimani city kuelekea magogoni usiku ule!
Mabibo jeshini ulirudi night kali sikumbuki muda sahihi
Majira ya saa sita kasoro usiku maeneo ya hapa k'ndon mkwajun umeme ulikatika,m2 wa mwananyamala akanambia kwake pia umekatika,pia kuna m2 huko moro kasema umekatika,je hapo ulipo wewe umeme upo kwa usiku huu?
alienda kuangalia cinema za zantel?ndo ukatwe nchi nzima?frm there hadi mag0g0n ni how long it took?
kulikuwa na fund raising ya ud, hata kuna thread yake humu!