Umeme umekatika mara 7 leo

mfianchi

Platinum Member
Jul 1, 2009
11,837
8,226
Jamani sasa Tanesco wanakeresha leo hii umeme unakatwa na kurudi mara 7,hivi sasa wamekata tena tupo gizani,kinachoudhi zaidi wakiwasha baada ya dk 10 wanakata na kurudia tena vivyo hivyo ni kama vile cd yenye mikwaruzo,mwishowe watatuunguzia vitu vyetu.Tanesco acheni UPUMBAVU wenu sio siri mnakera sana,mumengeza bei ya umeme lakini huduma bado mbofumbofu sh....i yenu
 
Back
Top Bottom