Mgao unakuja tena! Stay tuned
Kama Tanesco ikiweza kuzalisha umeme wake kisha kina Rostam Azizi watakula wapi na richmonduli yao?
Mgao unakuja tena! Stay tuned
Tulia mkuu, watu washaanza kuyaonja machungu ya mgao huu. Nchi nzima mkuu.....not again...!! aaaah jamani acheni hizoo........watu hata aibu hamna!!!
Nikisema Ndivyo Tulivyo mnanifokea.....