Mbona sijui nani mwenye uamuzi wa mwisho kwenye hili swala je ni Raisi, Waziri mkuu, kamati ya bunge, mkurugenzi na board ya Tanesco au waziri wa nishati. Hakuna uongozi unaoeleweka ni kila mtu anasema anachotaka na hatujui ni nani ana responsibility. Kama serikali haisemi ni nani anafanya uamuzi hakutakuwa na uamuzi bali maneno nenda rudi??!!!