Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Wadau, hapa nilipo sasa ivi ni maeneo ya manzese, na hakuna umeme na ninafanya survey na kugundua kwamba si manzese tuu ambapo hakuna umeme...kuanzia maeneo ya magomeni hadi manzese ni giza. Je miaka hamsini ya uhuru na giza totoro hili tunacha kujivunia kweli.? Au kuendekezana na upumbavu wa hali ya juuu. Tz1961 giza totoro-the slogan.