Umeme huoo umepaa kwa 40%

sasa tujifunze kulipenda giza....................maana hata mbizi hazifui dafu hapo.................lakini furahieni kupanda kwa gharama za maisha kwani hilo ni kaburi ambalo ccm na ufisadi wake limejichimbia lenyewe.....................na huko ndiko litakapojizika lenyewe.........

jaman,c tumejifunza during mgao?
 
Hapa mimi nashangaa wanaposema bei hizo zinaanza kutumika 15 jan wakati leo nimenunua umeme kwa nmb mobile nimepigwa bei mpya hata kabla haijatangazwa!!leo kwa kiherehere changu baada ya kusoma kwenye magazeti kupanda kwa umeme nimeamua haraka kunyanyua simu yangu na kununua umeme wa laki ili niepuke maumivu ya ghafla,baada ya kununua kama kawaida nimeshangaa napata unit 365 badala ya 504 ambazo uwa napata nikinunua umeme wa kiwango hicho,nimeamua kupiga simu kwa wahudumu nmb mobile wakasema hizo ni bei mpya!!!hii taarifa kuwa unaanza 15 jan inanichanganya na hali halisi,naomba mwenye uhakika anieleze isije kuwa nimepigwa unit 140 hivi!!

pole sana ndugu yangu
 
Kazi ya prof. Ndulu inazidi kuwa ngumu. Mfumuko wa bei haushikiki. Bei ya umeme kama ilvyo kwa nishati ya mafuta ina athari kwa mfumo mzima wa uchumi. Tunarudi kulekule kwa inflation ya 30 percent.
 
Wametugawia giza almost mwaka mzima kisha mvua imeanza kunyesha wanapandisha bei ya umeme! Nchi hii inachosha sana!
 
Kwani tulipokuwa tunatumia umeme wa Dowans tulikuwa hatulipia sie watumiaji hii nchi mbona ni kero au hadi afufuke Sokoine..


Ewe mzimu wa Sokoine mmulike huyu Rais wetu haya mambo anayotufanyia si ya kiungwana haswa...
 
Kazi ya prof. Ndulu inazidi kuwa ngumu. Mfumuko wa bei haushikiki. Bei ya umeme kama ilvyo kwa nishati ya mafuta ina athari kwa mfumo mzima wa uchumi. Tunarudi kulekule kwa inflation ya 30 percent.

umeme kwa sasa ni ANASA,SH€NZ T¥P
 
Ewe EL mteule wa Mungu tuokoe!!!!

Wewe ndio mufilisi kabisa, Kwenye equation ya Dowans EL ni parameter mojawapo.

EL + JK + RA + Government Negotiations Team => Richmond => Dowans

Kwa mazingira haya atuokoe au atuambie ukweli kuhusu tumefikaje hapa?
 
  • Thanks
Reactions: ral
NI bora tuwe na umeme wa uhakika hata kama wa bei juu,kuliko kuukosa kabisa,si lazima tulalamike kwa kila kitu tu,kama vipi tumieni njia mbadala solar,jenereta nk mkishindwa VIBATARI VIPO
 
NI bora tuwe na umeme wa uhakika hata kama wa bei juu,kuliko kuukosa kabisa,si lazima tulalamike kwa kila kitu tu,kama vipi tumieni njia mbadala solar,jenereta nk mkishindwa VIBATARI VIPO

acha umajununi,bei ya mafuta ya taa unaijua?
 
Ewura kuridhia ongezeko la kupandisha umeme asilimia 40 ni shinikizo kutoka kwa vigogo wengi wanaomillik dowans ili kufanikisha malipo yao as indirect way 2 be paid,ndani ya hiyo miez 6 deni limeisha.watanzania watakuwa washapigwa mchanga w macho hivo kufanikisha azma yao bila kipingamiz
 
Wametugawia giza almost mwaka mzima kisha mvua imeanza kunyesha wanapandisha bei ya umeme! Nchi hii inachosha sana!

inchi ya ajabu kweli. Kenya wamepunguza bei ya umeme kwa asilimia tano kuanzia jan 2012 baada ya mabwawa kujaa maji. Domestic Tariff

0 - 50 units ksh 2

50 - 500 unit ksh 8
 
Nimekuwa nikijiuliza hivi hii serikali ya ccm huwa inakusanya vipi takwimu zake maana ukisikia zingine utashangaa kama kweli zimekusanywa kitaalamu au ni usanii mtupu.

Nimeshawishika kuamini kuwa hakuna tafiti ila usanii kwa vile linapokuja swala la umaskini utasikia watanzania wengi ni maskini wanatumia chini ya $1 kwa siku lakini linapokuja swala la umeme utasikia mlalahoi ni yule anayetumia chini ya unit 50 kwa mwezi jambo ambalo sio kweli! Ninaamini kama utafiti ukifanyika maskini wengi wenye umeme majumbani wanatumia zaidi ya huo na pia tanesco wamekuwa waongo maana kila mwenye mita ya luku sio mlalahoi kwani hazina hiyo tariff ya maskini bali watumiaji wa kati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom