Msema hovyo
Senior Member
- Jul 3, 2011
- 195
- 86
Kuna usemi unaosema kwamba ukianguka usiangalie ulipoangukia, bali angalia ulipo jikwaa. Kwa hiyo hata kwenye tatizo la umeme tunatakiwa tuangalia kilicho sababisha. Sasa wengi wanasema umeme ni janga la taifa, lakini mimi nasema tuangalie tatizo kwa mapana yake. Inawezekana janga la taifa hapa ni CCM au Kikwete au Tanesco au Ngeleja? Tutafakari.