BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Unafanya ngono na hamjafunga ndoa......mbaya
Yaani ni mbaya lakini huo ndo ukweli! Ila kuwa na mpenzi umri huu bila hicho kitu inawezekana kweli? Japo ingekuwa vyema mpaka ndoa sema maisha ya siku hizi yamebadilika..