NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Jamani hii biashara ya mikokoteni barabarani inakera sana
Kunasiku nilikwanguliwa gari yangu mpya na mkokoteni, na ilikuwa kwa makusudi mazima. huyo mwenye mkokoteni hata kukulipa hawezi. nikaishia kuingia mfukoni kwangu
Jana mkokoteni umesababisha foleni ndefu bila mpango umebeba mambao kibao ambayo ni hatari kwa usalama
Hivi serikali haina mpango wowote wa kuhakikisha inatenga njia kwa ajili ya hii mikokoteni?
Vinginevyo ni kero sana.
Hao nao wanalipa road licence na insurance cover?
Kunasiku nilikwanguliwa gari yangu mpya na mkokoteni, na ilikuwa kwa makusudi mazima. huyo mwenye mkokoteni hata kukulipa hawezi. nikaishia kuingia mfukoni kwangu
Jana mkokoteni umesababisha foleni ndefu bila mpango umebeba mambao kibao ambayo ni hatari kwa usalama
Hivi serikali haina mpango wowote wa kuhakikisha inatenga njia kwa ajili ya hii mikokoteni?
Vinginevyo ni kero sana.
Hao nao wanalipa road licence na insurance cover?