Enzi za mababu, kiumbe kama huyu aliuawa siku aliyozaliwa. Huitwa mtoto wa jalala. Na wala hafanyiwi msiba ama matangazo huzikwa na watu wazima wachache.
Why not?ninyi ndo mnawafukuzaga wake zenu
eti sijui kajifungua albino aghhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
eti ukoo wetu hatuna mtu kama huyu
akamtafute baba wa mtoto acheni imani haba
hivi wewe ungezaliwa na ulemav af wazazi wako
wakakutelekeza hospt ungejiskiaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.